WATU 200 Wakamatwa Kwa Tuhuma za Dawa za Kulevya, Unyang’anyi

Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar ES salaam limeendelea kufanya misako na operesheni kali ambapo kuanzia 10/7/2017 mpaka tarde 16/7/2017 limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa 200 kwa makosa mbalimbali ya uhalifu.
Comments
Post a Comment