News Alert: Mbowe Aitikia Wito Polisi

                                      
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe ameitikia wito wa Jeshi la Polisi mchana huu, katika kituo cha Polisi kati, Jijini Dar es salaam. tayari kwa mahojiano juu ya tuhuma za kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya zilizotolewa hivi karibuni na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda

Comments

Popular posts from this blog

Hatma ya Mhe Anna Mghwira Kuendelea na Uenyekiti wa ACT Wazalendo Kujulikana Leo..ACT Wakutana Kumjadili..!!!

Matamshi ya Magufuli kuhusu wasichana wa shule waliotungwa mimba yawakasirisha wanawake Tanzania

Kinana Amjibu Kikwete Juu ya Mabadiliko ya CCM..!!!