WAZIRI Aipiga Stop EWURA Kupandisha Bei ya Umeme

Waziri wa nishati na madini, Sospeter Muhongo ameipiga 'Stop' EWURA kupandisha bei ya umeme mpaka serikali itapopokea na kutathmini bei mpya kwa umakini.


Jana EWURA ilatangaza ongezeko la bei ya umeme kuanzia Januari mosi, 2017.

Comments

Popular posts from this blog

Hatma ya Mhe Anna Mghwira Kuendelea na Uenyekiti wa ACT Wazalendo Kujulikana Leo..ACT Wakutana Kumjadili..!!!

Kinana Amjibu Kikwete Juu ya Mabadiliko ya CCM..!!!

Ikulu ya JPM Yafafunguka Haya Kuhusu Malalamiko ya Kampuni ya Acacia Juu ya Ripoti ya Mchanga wa Madini..!!!