WAZIRI Aipiga Stop EWURA Kupandisha Bei ya Umeme

Waziri wa nishati na madini, Sospeter Muhongo ameipiga 'Stop' EWURA kupandisha bei ya umeme mpaka serikali itapopokea na kutathmini bei mpya kwa umakini.


Jana EWURA ilatangaza ongezeko la bei ya umeme kuanzia Januari mosi, 2017.

Comments

Popular posts from this blog

Kesi Mauaji ya Watafiti Kutajwa Tena Desemba 29

Kimenuka..Ofisi ya CCM Yachomwa Moto Pwani

INASIKITISHA:Mwanafunzi wa Miaka 13 Abakwa Korongoni Hadi Kufa